Traduisez et répondez

1. Heti unataka nikuoneshe kitabu kyangu kya mupya?

2. Unataka kula nini kesho asubui?

3. Wakati gani Marko atafika, na saa tano ao na saa munane?

4. Wakati gani uliona kama jamaa yote inaniita mtenda mema?

5. Heti ka kitabu kenye nalikutumia kalikua ka lazima kwako?